Headlines News :
Home » » PAPA FRANCISCO:SHOGA SIO TATIZO,TATIZO KAMPENI ZA USHOGA

PAPA FRANCISCO:SHOGA SIO TATIZO,TATIZO KAMPENI ZA USHOGA

Written By kunta kinte on Monday, July 29, 2013 | 8:03 PM

Papa Francisco.
Kiongozi wa Kanisa Katoliki ulimwenguni Papa Francis amesema hawezi kuwahukumu mashoga, lakini akalaani kampeni ya kuhalalisha ushoga akiiita tatizo kubwa. Vile vile Papa Francis amesema kanisa halina budi kuwapa wanawake majukumu makubwa, ingawa amesema kuwa milango ya wao kuwa mapadre imefungwa.
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye ndege yake akitokea Brazil kurudi Roma, Papa Francis alisema kuwa shoga sio tatizo, tatizo kampeni ya kuuhalilisha. Alisema kama mtu ni shoga na anamtafuta mungu kwa nia ya dhati, basi yeye hawezi kumhuku.
Kiongozi huyo wa wakatoliki ulimwenguni alijibu maswali kuhusu mtu aliyemteuwa kuongoza banki ya Vatican yenye matatizo, Battista Ricca, ambaye licha ya uteuzi huo anasakamwa na shutuma ya kuwa na uhusiano wa kingono na shoga. Papa amesema aliagiza uchunguzi mfupi juu ya madai hayo, lakini hakukua na ushahidi wowote dhidi ya mtu huyo.

Tarehe 11 mwezi july Mwaka 1976 mashoga wakiandamana kudai haki zaokuai haki zao za ushoga
File:Gay Rights demonstration, NYC 1976.jpg
HABARI NA DW SWAHILI
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Popular Posts

Comments

blogs zinazotamba

Translate

Popular Post

Flag Counter
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. NDOANO YA HABARI - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template