Timu ya soka buyern munich imeonesha uwezo wake wa kandanda ulimwenguni baada ya kuifumua vibaya timu ya soka Barcelona kwa magoli 4-0. Timu hiyo ilipata ushindi huo kipindi cha kwanza kupitia kwa mchezaji wake hatari Thomas muller goli hilo lilidumu mbaka mapumziko
kipindi cha pili kilianza kwa kasi sana kwa pande zote mbili kuswambuliana kwa kasi.
Buyen ilijipatia bao la pili kupitia kwa mshambulia wao hatari
Gomez.Haikuishia hapo winga Loben ndo uliekuwa mwiba mchungu kwa barca kwani
aliwakusanya mabeki alivyo taka yeye na kupachika bao la tatu kiufundi
zaidi.na muller kuitimisha la nne
Huku maamuzi ya lefa na laiz men yaki wanyima pelnat zawazi kabisa buyern munich
Huku mshambuliaji hatali wa barca mass Akishindwa kabisa kuonesha vitu vyake
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !