Headlines News :
Home » » MAN U YATANGAZA UBINGWA LASMI IKIWA NYUMBANI

MAN U YATANGAZA UBINGWA LASMI IKIWA NYUMBANI

Written By kunta kinte on Monday, April 22, 2013 | 4:29 PM

Timu ya manchester united imefanikiwa kutangaza ubingwa wa 20 ikiwa katika uwanja wake  wa nyumbani

Old Trafford






usiku wa kuamkia leo.Baada ya kuipa kisago Aston villa cha mabao 3-0.man u ilipata magoli hayo kupitia kwa mchezaji wake hatari [RVP]alie ionesha dunia ushujaa wake wa kupachika mabao hayo kipekee zaidi.Ushindi huo umeifa man u kufikia pwenti ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote ile hata kama itapoteza michezo yote ilio bakiza.Tofauti na wote RVP alionekana akiwa na furaha zaidi kuliko wenzake wote

                     MABINGWA WASIO PINGIKA  2012-2013

Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Popular Posts

Comments

blogs zinazotamba

Translate

Popular Post

Flag Counter
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. NDOANO YA HABARI - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template