Headlines News :
Home » » BREAKING NEWS:MORINHO AREJEA CHELSEA

BREAKING NEWS:MORINHO AREJEA CHELSEA

Written By kunta kinte on Wednesday, May 29, 2013 | 3:05 PM

  
Kocha Jose Morinho apata ajira katika timu ya Chelsea baada ya kutangatanga huku na kule ameamua kurejea rasmi katika timu hiyo ya Chelsea ambayo alikuwa akiifundisha hapo awali kabla y kwenda Inter milan kisha Real madrid.Kocha huyo mwenye umri wa mika 50 ambae ataingia London june 2 tayari kuja kuwanoa vijana wa Stanford bridge.Mornho ataingia hapo akiwa pamoja na kocha wake msaidizi Rui Faria pamoja na kocha wake wa makipa Silvino Louro.Morinho atakuwa akilipwa mshahara wa £250,000 kwa wiki na kupewa mkataba wa kuifundisha timu hiyo kwa miaka minne.Jose Mornho ataondoka katika klabu ya Real madrid mwisho wa msimu baada ya kucheza mechi yake ya mwisho dhidi ya Osasuna.Taarifa rasmi ya kuhama kwa kocha huyo bado haijatolewa ila mambo yenyewe yamevuja kwenye vyombo vya habari
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Popular Posts

Comments

blogs zinazotamba

Translate

Popular Post

Flag Counter
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. NDOANO YA HABARI - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template