Timu ya klabu ya Bayern munich imeibuka kidedea baada ya kuibuluza vibaya timu Barcelona kwa mabao 3-0 katika mchezo wa maludiano ulio chezwa katika uwanja wa New camp nchini hispein.
timu hiyo ilipata ushindi huo kipindi cha pili kupitia kwa winga hatari Roben alie fungua kitabu cha mabao
Kabla ya beki mahili wa Barcelona Pique kujifunga kwa shuti kali huku akizani anaoko klos ya hatari iliopigwa kutoka winga ya kushoto na Ribery
Huku
Ushindi huo umeifanya bayern kutinga fainali kwa kishindo baada ya kuifunga baca kwa jumla ya magoli 7-0 na hivyo kufanya zikutane timu mbili za nchi moja katika mchezo wa fainali utakao chezwa uwanja wa
WEMBLEY STADIUM
NA HIVYO BAYERN MUNICHI V$ BORUSSIA DORTMUND
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !