Hali
ya usalama katika Manispaa ya Mtwara Mikindani imezidi kuwa
mbaya baada ya askari polisi kudaiwa kufanya unyama kwa kuwabaka
wanawake na kumpiga risasi mjamzito,
Imegundulika kwama jeshi la Polisi limekuwa likitenda uhalifu kwa wakazi wa mtwara Baada ya askali kuwabaka wanawake,
Polisi pia wanashutumiwa kwa kumpiga lisasi mama mjamzito na kupelekea kifo kwa mama huyo ambae alikimbizwa hospitali huku wauguzi walio pokea mwilihuo wakithibitisha kuukuta na tundu la lisasi mwilini
Mbali na unyama huo polisi pia wanadaiwa kuchoma moto nyumba za wananchi katika mtaa wa Magomeni na maduka kadhaa na kupora vitu vilivyomo ndani.
Mbali na unyama huo polisi pia wanadaiwa kuchoma moto nyumba za wananchi katika mtaa wa Magomeni na maduka kadhaa na kupora vitu vilivyomo ndani.
.
Fujo ziliibuka tena mda wa jioni katika mkoa huo pande za magomeni ambapo polisi walipiga mabomu ya machozi ili kuwatawanya raiya huku baadhi wakijibu mapigano na wangine kukimbilia hospitali ya mkoa huo
Imegundulika kwama jeshi la Polisi limekuwa likitenda uhalifu kwa wakazi wa mtwara Baada ya askali kuwabaka wanawake,
Polisi pia wanashutumiwa kwa kumpiga lisasi mama mjamzito na kupelekea kifo kwa mama huyo ambae alikimbizwa hospitali huku wauguzi walio pokea mwilihuo wakithibitisha kuukuta na tundu la lisasi mwilini
Mbali na unyama huo polisi pia wanadaiwa kuchoma moto nyumba za wananchi katika mtaa wa Magomeni na maduka kadhaa na kupora vitu vilivyomo ndani.
Mbali na unyama huo polisi pia wanadaiwa kuchoma moto nyumba za wananchi katika mtaa wa Magomeni na maduka kadhaa na kupora vitu vilivyomo ndani.
.
Fujo ziliibuka tena mda wa jioni katika mkoa huo pande za magomeni ambapo polisi walipiga mabomu ya machozi ili kuwatawanya raiya huku baadhi wakijibu mapigano na wangine kukimbilia hospitali ya mkoa huo
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !