Headlines News :
Home » » SERIKALI YA NIGERIA YA SAKA SURUHU NA KUNDI LA BOKO HARAM

SERIKALI YA NIGERIA YA SAKA SURUHU NA KUNDI LA BOKO HARAM

Written By kunta kinte on Friday, May 10, 2013 | 2:25 PM


 

Jopo  lililoundwa   na  rais  kutafuta  uwezekano  wa  kupata makubaliano  ya  msamaha  kwa  kundi  la  Boko  Haram, limekutana jana  na  kiasi  ya  watuhumiwa  40  kutoka  kundi  hilo  ambao wanashikiliwa  jela  nje  ya  mji  mkuu  Abuja.
Mwenyekiti  wa  jopo  hilo Kabiru Tanimu Turaki amewaambia waandishi  habari  kuwa  wamekuwa  na  majadiliano  mazuri  na baadhi  ya  wafungwa  ambao  wanashikiliwa   kwa  madai  ya  kuwa wanachama  wa   kundi  la  Jamaa Ahl  al-Sunnah li-da'wa wa al-Jihad, maarufu  kama  Boko  Haram  kwa  madai  ya  ugaidi  ama vitendo  vinavyohusika  na  matukio  kama  hivyo.
 
Hata  hivyo  hakueleza  zaidi  kuhusu  yale  yaliyojadiliwa  na  jopo hilo.




 
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

Popular Posts

Comments

blogs zinazotamba

Translate

Popular Post

Flag Counter
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Proudly powered by Blogger
Copyright © 2011. NDOANO YA HABARI - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template