VURUGU HIZO ZILISABABISWA NA KAULI YA SEREKALI BAADA YA KUWAKATAZA WANANCHI KUTOKUFANYA BIASHARA MAENEO YA MASHINE TATU HUKU MBUNGE WA JIMBO HILO AKIPINGA AGIZO HILO NA KUWARUHUSU WANANCHI KUFANYA BIASHARA ENEO HILO
Mbunge wa jimbo hilo MH Peter Msigwa alisema kwamba kuwakataza Raiya wake kutokufanya biashara maarahapo ni makosa kwasababu hapo ndipochanzo chawao kulipa kodi za serekali,
Mbunge huyo ikiwasili nagaliyake eneo la tukio
Gali la mbunge likisukumwa na wananchi kwa furaha likiondoka maeneo hayo baada ya kumaliza hutuba ya mbunge huyo Huku Askali wa kutuliza gasia wakitazama
Baada ya kuondoka mbunge ndipo askali hao walianza kupiga raiya ovyo huku wakifyatua mabomu ya machozi na kuwamwagia maji ya kuwasha
Hapo ndipo raiya wapoanza kujibu mapigo hayo kwa mawe na kuchoma vitu njiani
Bada ya tukio hilo MH mbunge alikamatwa na Polisi kwa kosa la uchochezi wa vulugu
Mbunge wa jimbo hilo MH Peter Msigwa alisema kwamba kuwakataza Raiya wake kutokufanya biashara maarahapo ni makosa kwasababu hapo ndipochanzo chawao kulipa kodi za serekali,
Mbunge huyo ikiwasili nagaliyake eneo la tukio
Gali la mbunge likisukumwa na wananchi kwa furaha likiondoka maeneo hayo baada ya kumaliza hutuba ya mbunge huyo Huku Askali wa kutuliza gasia wakitazama
Baada ya kuondoka mbunge ndipo askali hao walianza kupiga raiya ovyo huku wakifyatua mabomu ya machozi na kuwamwagia maji ya kuwasha
Hapo ndipo raiya wapoanza kujibu mapigo hayo kwa mawe na kuchoma vitu njiani
Bada ya tukio hilo MH mbunge alikamatwa na Polisi kwa kosa la uchochezi wa vulugu
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !