Add caption |
HARI YA OFU IMETANDA TENA MKOANI MTWAA BAADA YA KUSAMBAZWA KWA VIPEPERUSHI VYENYE UJUMBE WA KUWATAKA WATU WA MKOA HUO KUTOFANYA SHUGHULI ZAO ZA KIJAMII SIKU YA IJUMAA YA TAREHE [I7/05/2013] NI SIKU AMBAYO BUNGE LA TANZANIA LINASOMA BAJETI YA WIZARAYA NISHATI NA MADINI
Malalamiko ya watu wa mkoa huo yalinukuliwa;
Kwamba serekeri imekuwa ikiusahau mkowa huo kimaendeleo tokea kupata uhuru hadi hivi sasa huku ikitumia mali zitokazo mkoani hapo kuendeleza mikoa mingine;
Hivyo wameamasishana kuto kufanya shughuli muimu za aina yoyote ile huku wakitaka kusimama kwa huduma zote kama vile
- KUSITISHWA KWA SHUGHULI ZA MASOKO
- KUFUNGWA KWA MADUKA
- KUSIMAMISWA KWA HUDUMA ZOTE ZA USAFILI
- KUFUNGWA KWA OFISI ZOTE ZIKIWEMO ZA SEREKALI NA ZISIZOKUWA ZA SEREKALI
Huku wakidai kwamba Serekari imesha zoea kuwapuuza na kuwazarau kwa kuwadanganya pale tu wanapopeleka malalamiko yao sehemu husika
NA HUU NDO UJUMBE WAO WA KIPEPERUSHI
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !