Polisi mkoani MARA(tarime)wameuwa mtoto wa miaka (9) DEO YAKOB amabye
ni mwanafunzi wa darasa la tatu(3) katika shule ya msingi mturu mjini
tarime katika kile kilichoripotiwa kuwa polisi walikuwa wakikabiliana na
majambazi ambao walikuwa wakiua na kuiba mali za raia waishiyo katika
mpaka wa Tanzania na Kenya
Home »
habari ya kitaifa
» POLISI WAUWA MTOTO TARIME
POLISI WAUWA MTOTO TARIME
Written By kunta kinte on Friday, May 10, 2013 | 1:43 PM
NAWAOMBA RADHI KWA PICHA HII YA KUTISHA
Labels:
habari ya kitaifa
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !