mtoto huyo akitolewa kwenye bomba la choo
Mtoto amabae inasemekana alitupwa chooni na mama huyo mwenye umri wa
miaka 22 raia wa China amefanikiwa kuwa hai baada ya juhudi za hali ya
juu zilizofanywa na madaktari kwa kuchana bomba la choo pasina kumkata
mtoto huyo a,mbae inasemekana alikaa kwenye bomba hilo zaidi ya lisaa
limoja.
Ama serikali ya China imesema itamfungulia mashtaka ya kesi ya mauaji mwanamke huyo.
Hizi ndizo juhudi nzima za waokoaji walivyo nusuru maisha ya mtoto huyo na picha zikionyesha akiwa ndani ya bomba la choo
Ama serikali ya China imesema itamfungulia mashtaka ya kesi ya mauaji mwanamke huyo.
Hizi ndizo juhudi nzima za waokoaji walivyo nusuru maisha ya mtoto huyo na picha zikionyesha akiwa ndani ya bomba la choo
Hapa ni baada ya kuokolewa akipatiwa huduma
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !